Showing posts with label Brokers. Show all posts
Showing posts with label Brokers. Show all posts

Jinsi ya kucheza forex

Bila shaka umefika kwenye post hii baada ya ku search neno jinsi ya kucheza forex lakini inakupasa kufahamu kwamba Forex sio mchezo wa kubahatisha kama ilivyo michezo mingine ya kubahatisha au Ku-bet kama Sportpesa, Biko n.k

Forex ni biashara inayohitaji ueledi wa hali ya juu katika kutathmini uelekeo wa masoko  ya fedha za kigeni.

Forex inahitaji uwe na uelewa mpana, pamoja na mbinu za kuweza kulielewa soko la fedha ikiwa ni pamoja na kufanya mahesabu mbali mbali yatakayokupa uwezo wa kufahamu ni wakati gani wa kuingia sokoni na ni wakati gani wa kutoka sokoni.

Sasa basi, kama umeshafahamu kwamba Forex sio mchezo wa kuchezwa kama BIKO n.k, ni wakati wako sasa kufahamu ni jinsi gani ya kuweza kujiunga na biashara hii ya Forex. Kupata maelekezo yaliyojitosheleza juu ya namna ya kujiunga na biashara ya forex, bofya link ifuatayo:

Jinsi ya kujiunga na biashara ya Forex

Ukishapitia na kuisoma kwa kuelewa post hiyo, utaweza kufahamu sasa kwamba kumbe cha kwanza kabisa ni kuwa na broker atakayekuwezesha ku trade Forex, ambaye kwa sisi tuliowengi hapa Afrika Mashariki, tunapenda kumtumia broker aitwaye TemplerFx, ambaye kwa bahati nzuri, atakuwezesha kuweka na kutoa pesa zako kwa njia ya M-Pesa.

Kufungua account ya Forex bofya kitufe kifuatacho:

BOFYA HAPA KUFUNGUA ACCOUNT

Ambapo utaweza kusoma maelekezo utakayopatiwa ikiwa ni pamoja na ku verify email yako, namba yako ya simu, na taarifa zako za msingi.

Mtaji wa kuanzia Forex

Je unahitaji mtaji kiasi gani wa kuanzia biashara ya FOREX?

Mtaji wa kuanzia Forex

Kama tulivyoona katika mada ya utangulizi kuhusu biashara ya Forex, kwamba Forex ndio biashara kubwa zaidi duniani ambayo ina mzunguko wa dola za kimarekani trilioni 5 kwa siku. Iwapo na wewe ungependa kuwa sehemu ya mzunguko huu wa pesa, huna budi kujifunza vizuri misingi yote ya biashara hii yenye ushindani mkubwa, ili kuepuka kupata hasara.

Kiwango cha awali cha kuanzia biashara ya FOREX kinategemea na dalali wako wa forex (Forex broker), wapo baadhi ya Forex brokers ambao unaweza ukaanza na kiwango kidogo kidogo cha dola 10 na wengine hata dola 1.

Tena baadhi ya brokers hawa, watakupatia pesa ya ziada ya kulinda account yako kama mkopo (Credit) kwa mfano broker maarufu ajulikanae kwa jina la XM.COM yeye anakuwezesha kuanza na mtaji mdogo wa dola 5 na kukupatia mkopo wa dola 30 iwapo utafungua MT4 account aina ya STANDARD.

Broker mwingine ambaye amekua akitumiwa na watanzania wengi ni TEMPLERFX ambaye anakuwezesha kuanza na kiwango kidogo zaidi cha dola 1 (naam, dola moja tu) ambacho unaweza kuki deposit kwa kutumia account yako ya M-Pesa.

Historia inaonesha kwamba, ni wafanyabiashara wachache sana wa FOREX ambao wana uwezo wa kuanza na kiwango kidogo cha pesa na kuweza kukipandisha hadi kufikia kiwango kikubwa kwani unapokua na balance ndogo, ndivyo ambavyo ni rahisi kwa account yako kuisha pale soko linapo panda na kushuka.

Iwapo ungependa kujiunga na broker anayekuwezesha kuanza na kiwango kidogo cha dola 5 ambacho waweza kukiweka kwa kutumia M-Pesa Mastercard au Skrill, bofya kiungo kifuatacho.

BOFYA HAPA KUFUNGUA ACCOUNT

Na iwapo hujafahamu jinsi ya kuweka na kutoa pesa za forex kwa kutumia Vodacom M-Pesa, bofya link ifuatayo ambayo nimekuandalia maelezo mengi juu ya namna ya kutumia M-Pesa kuweka na kutoa pesa ya Forex.

Jinsi ya kutumia M-Pesa kuweka na kutoa fedha katika Forex

Zinazosomwa Zaidi

Followers