Showing posts with label Real Account. Show all posts
Showing posts with label Real Account. Show all posts

Jinsi ya kutumia Metatrader 4 mt4 ku trade Forex

Makala hii itaenda kukuelimisha jinsi ya kutumia program ya Metatrader 4 au kwa kifupi mt4 kukuwezesha kufanya biashara ya Forex.

Jinsi ya kutumia Metatrader 4 mt4 ku trade Forex


Metatrader ni program maalum inayotumika kuwezesha ufanyaji wa biashara ya Forex yaani kufungua position, pamoja na kukupatia chart ambazo zitakuwezesha kuona uelekeo au historia ya pair za Forex na pia kukuwezesha kufanya uchambuzi wa pair hizo kwa kitaalam technical analysis.

Kuanza kutumia program hii, yakupasa uwe na account katika moja ya broker utakayemtumia ku trade Forex.

BOFYA HAPA KUFUNGUA ACCOUNT

Metatrader ina version kuu mbili, Metatrader 4 na Metatrader 5, hizi ni programu mbili tofauti na haimaanishi kwamba Metatrader 5 ni toleo la juu la metatrader 4, la hasha. Hizi ni program tofauti kabisa, ingawa zinatengenezwa na kampuni moja, na programu ambayo inatumika zaidi kwa biashara ya Forex, ni Metatrader 4 au kwa kifupi MT4.

Jinsi ya ku-install Metatrader4

Program ya Metatrader 4 inapatikana katika vifaa vyote tunavyotumia ku trade Forex yaani simu, PC pamoja na Mac. Zipo version za mt4 za Android, iOS na hata Windows kwa ajili ya computer yako.

Kuweza kutumia vyema program hii ya Metatrader 4, yakupasa uwe umeshafungua account kwa broker unayemtumia.

Ukishatengeneza account, aidha kwa kutumia simu yako ya mkononi au kwa kutumia computer yako, fungua menu, au angalia menu iliyopo upande wa kushoto, utaona menu imeandikwa Downloads, bofya sehemu hiyo kisha bofya sehemu iliyoandikwa Platforms na utaona maelekezo pamoja na orodha za platform ambazo unatumia ili u download program hii ya Metatrader 4. Kama unatumia windows computer, bofya sehemu iliyoandikwa  TemplerFX trader on windows, na kama unatumia simu ya mkononi, nenda moja kwa moja kwenye PlayStore kama unatumia Android, au AppStore kama unatumia iPhone au iPad, kisha search neno MT4 au neno Metatrader4 ambapo utaona program hii, na utai install.

Ukisha install, utaona option ya kufungua Demo account, ambapo una uhuru wa kufungua default demo account kutoka kwa watengenezaji wa program ya mt4, au waweza ingiza taarifa za demo account za broker wako.

Kama hutapenda kuweka demo account, una uhuru wa kuweka login na password zako za account yako uliyotengeneza kwa broker wako.

Kumbuka kwamba, taarifa zako za ku login, zipo kwenye site ya broker wako, kama unatumia broker wa templerfx, basi kupata taarifa zote, login kwenye site ya templerfx, halafu kwenye menu kuu, bofya sehemu iliyoandikwa Open an Account halafu chini yake, bofya new account.  Kwenye orodha ya account za kutengeneza, utaulizwa uchague aina ya account ya kutengeneza, chagua yoyote inayokufaa kati ya either DEMO ACCOUNT (kama hupo tayari kuanza na real account) au chagua LIVE UNIVERSAL FX kutengeneza live/real forex account.

Jinsi ta kufungua account ya mt4

Mara baada ya kutengeneza, utapewa Login Id, na Password. Ambazo sasa, ndio unazopaswa kuzitumia ku login kwenye program yako ya Metatrader 4.

Endelea kuwa nasi katika makala hii ambayo itaendelea kukufundisha jinsi ya kutumia menu mbali mbali zilizopo kwenye program uliyo install ya Metatrader 4.

Napenda kukufahamisha tena, kama huna account bado, bofya link ifuatayo kutengeneza account yako ya Forex.

BOFYA HAPA KUFUNGUA ACCOUNT

Kama una maoni, ushauri, au swali, usiache kutushirikisha kwa kuandika kwenye sehemu ya comments, au kuwasiliana nasi kwa kubofya menu ya Telegram hapo juu.

Jinsi ya kucheza forex

Bila shaka umefika kwenye post hii baada ya ku search neno jinsi ya kucheza forex lakini inakupasa kufahamu kwamba Forex sio mchezo wa kubahatisha kama ilivyo michezo mingine ya kubahatisha au Ku-bet kama Sportpesa, Biko n.k

Forex ni biashara inayohitaji ueledi wa hali ya juu katika kutathmini uelekeo wa masoko  ya fedha za kigeni.

Forex inahitaji uwe na uelewa mpana, pamoja na mbinu za kuweza kulielewa soko la fedha ikiwa ni pamoja na kufanya mahesabu mbali mbali yatakayokupa uwezo wa kufahamu ni wakati gani wa kuingia sokoni na ni wakati gani wa kutoka sokoni.

Sasa basi, kama umeshafahamu kwamba Forex sio mchezo wa kuchezwa kama BIKO n.k, ni wakati wako sasa kufahamu ni jinsi gani ya kuweza kujiunga na biashara hii ya Forex. Kupata maelekezo yaliyojitosheleza juu ya namna ya kujiunga na biashara ya forex, bofya link ifuatayo:

Jinsi ya kujiunga na biashara ya Forex

Ukishapitia na kuisoma kwa kuelewa post hiyo, utaweza kufahamu sasa kwamba kumbe cha kwanza kabisa ni kuwa na broker atakayekuwezesha ku trade Forex, ambaye kwa sisi tuliowengi hapa Afrika Mashariki, tunapenda kumtumia broker aitwaye TemplerFx, ambaye kwa bahati nzuri, atakuwezesha kuweka na kutoa pesa zako kwa njia ya M-Pesa.

Kufungua account ya Forex bofya kitufe kifuatacho:

BOFYA HAPA KUFUNGUA ACCOUNT

Ambapo utaweza kusoma maelekezo utakayopatiwa ikiwa ni pamoja na ku verify email yako, namba yako ya simu, na taarifa zako za msingi.

Jinsi ya kufungua account Forex

Jinsi ya kufungua account Forex

Baada ya kujifunza jinsi ya kujiunga na Forex, na kufahamu kwamba unapaswa kuanza biashara ya Forex kwa kufanya majaribio kwa kutumia account ya DEMO, sasa ni wakati muafaka wa kujua jinsi ya kujiunga na biashara hii kubwa duniani.

Jinsi ya kufungua account Forex
Jinsi ya kufungua account Forex
Kama hukusoma kuhusu jinsi ya kufungua na kutumia demo account ya forex, soma post hii:

Jinsi ya kufungua na kutumia DEMO account kwenye Forex

Kifuatacho sasa ni kufahamu jinsi ya kufungua account ya FOREX, kama nilivyokwisha kuwafahamisha hapo awali kwamba jambo la msingi ni kuchagua broker ambaye utakua unamtumia katika biashara ya forex, na kwa kuwa tunafahamu kwamba broker ambaye atakuwezesha kutuma na kupokea pesa kwa East Africa kwa urahisi zaidi kwa sasa ni TemplerFx ambaye anakuwezesha kutuma na kupokea pesa kwa huduma ya M Pesa ya Vodacom.

Kufungua account ya TemplerFX bofya kiungo kifuatacho ambacho kitakupeleka kwenye fomu maalum ambayo utapaswa kuijaza.

BOFYA HAPA KUFUNGUA ACCOUNT

Mara baada ya kutengeneza account, utapaswa kuithibitisha account yako ambapo utaombwa u upload copy ya kitambulisho chako kinachoweza kuthibitisha taarifa kuhusu wewe.

Zinazosomwa Zaidi

Followers