Showing posts with label Demo Account. Show all posts
Showing posts with label Demo Account. Show all posts

Jinsi ya kutumia Metatrader 4 mt4 ku trade Forex

Makala hii itaenda kukuelimisha jinsi ya kutumia program ya Metatrader 4 au kwa kifupi mt4 kukuwezesha kufanya biashara ya Forex.

Jinsi ya kutumia Metatrader 4 mt4 ku trade Forex


Metatrader ni program maalum inayotumika kuwezesha ufanyaji wa biashara ya Forex yaani kufungua position, pamoja na kukupatia chart ambazo zitakuwezesha kuona uelekeo au historia ya pair za Forex na pia kukuwezesha kufanya uchambuzi wa pair hizo kwa kitaalam technical analysis.

Kuanza kutumia program hii, yakupasa uwe na account katika moja ya broker utakayemtumia ku trade Forex.

BOFYA HAPA KUFUNGUA ACCOUNT

Metatrader ina version kuu mbili, Metatrader 4 na Metatrader 5, hizi ni programu mbili tofauti na haimaanishi kwamba Metatrader 5 ni toleo la juu la metatrader 4, la hasha. Hizi ni program tofauti kabisa, ingawa zinatengenezwa na kampuni moja, na programu ambayo inatumika zaidi kwa biashara ya Forex, ni Metatrader 4 au kwa kifupi MT4.

Jinsi ya ku-install Metatrader4

Program ya Metatrader 4 inapatikana katika vifaa vyote tunavyotumia ku trade Forex yaani simu, PC pamoja na Mac. Zipo version za mt4 za Android, iOS na hata Windows kwa ajili ya computer yako.

Kuweza kutumia vyema program hii ya Metatrader 4, yakupasa uwe umeshafungua account kwa broker unayemtumia.

Ukishatengeneza account, aidha kwa kutumia simu yako ya mkononi au kwa kutumia computer yako, fungua menu, au angalia menu iliyopo upande wa kushoto, utaona menu imeandikwa Downloads, bofya sehemu hiyo kisha bofya sehemu iliyoandikwa Platforms na utaona maelekezo pamoja na orodha za platform ambazo unatumia ili u download program hii ya Metatrader 4. Kama unatumia windows computer, bofya sehemu iliyoandikwa  TemplerFX trader on windows, na kama unatumia simu ya mkononi, nenda moja kwa moja kwenye PlayStore kama unatumia Android, au AppStore kama unatumia iPhone au iPad, kisha search neno MT4 au neno Metatrader4 ambapo utaona program hii, na utai install.

Ukisha install, utaona option ya kufungua Demo account, ambapo una uhuru wa kufungua default demo account kutoka kwa watengenezaji wa program ya mt4, au waweza ingiza taarifa za demo account za broker wako.

Kama hutapenda kuweka demo account, una uhuru wa kuweka login na password zako za account yako uliyotengeneza kwa broker wako.

Kumbuka kwamba, taarifa zako za ku login, zipo kwenye site ya broker wako, kama unatumia broker wa templerfx, basi kupata taarifa zote, login kwenye site ya templerfx, halafu kwenye menu kuu, bofya sehemu iliyoandikwa Open an Account halafu chini yake, bofya new account.  Kwenye orodha ya account za kutengeneza, utaulizwa uchague aina ya account ya kutengeneza, chagua yoyote inayokufaa kati ya either DEMO ACCOUNT (kama hupo tayari kuanza na real account) au chagua LIVE UNIVERSAL FX kutengeneza live/real forex account.

Jinsi ta kufungua account ya mt4

Mara baada ya kutengeneza, utapewa Login Id, na Password. Ambazo sasa, ndio unazopaswa kuzitumia ku login kwenye program yako ya Metatrader 4.

Endelea kuwa nasi katika makala hii ambayo itaendelea kukufundisha jinsi ya kutumia menu mbali mbali zilizopo kwenye program uliyo install ya Metatrader 4.

Napenda kukufahamisha tena, kama huna account bado, bofya link ifuatayo kutengeneza account yako ya Forex.

BOFYA HAPA KUFUNGUA ACCOUNT

Kama una maoni, ushauri, au swali, usiache kutushirikisha kwa kuandika kwenye sehemu ya comments, au kuwasiliana nasi kwa kubofya menu ya Telegram hapo juu.

Jinsi ya kucheza forex

Bila shaka umefika kwenye post hii baada ya ku search neno jinsi ya kucheza forex lakini inakupasa kufahamu kwamba Forex sio mchezo wa kubahatisha kama ilivyo michezo mingine ya kubahatisha au Ku-bet kama Sportpesa, Biko n.k

Forex ni biashara inayohitaji ueledi wa hali ya juu katika kutathmini uelekeo wa masoko  ya fedha za kigeni.

Forex inahitaji uwe na uelewa mpana, pamoja na mbinu za kuweza kulielewa soko la fedha ikiwa ni pamoja na kufanya mahesabu mbali mbali yatakayokupa uwezo wa kufahamu ni wakati gani wa kuingia sokoni na ni wakati gani wa kutoka sokoni.

Sasa basi, kama umeshafahamu kwamba Forex sio mchezo wa kuchezwa kama BIKO n.k, ni wakati wako sasa kufahamu ni jinsi gani ya kuweza kujiunga na biashara hii ya Forex. Kupata maelekezo yaliyojitosheleza juu ya namna ya kujiunga na biashara ya forex, bofya link ifuatayo:

Jinsi ya kujiunga na biashara ya Forex

Ukishapitia na kuisoma kwa kuelewa post hiyo, utaweza kufahamu sasa kwamba kumbe cha kwanza kabisa ni kuwa na broker atakayekuwezesha ku trade Forex, ambaye kwa sisi tuliowengi hapa Afrika Mashariki, tunapenda kumtumia broker aitwaye TemplerFx, ambaye kwa bahati nzuri, atakuwezesha kuweka na kutoa pesa zako kwa njia ya M-Pesa.

Kufungua account ya Forex bofya kitufe kifuatacho:

BOFYA HAPA KUFUNGUA ACCOUNT

Ambapo utaweza kusoma maelekezo utakayopatiwa ikiwa ni pamoja na ku verify email yako, namba yako ya simu, na taarifa zako za msingi.

Jinsi ya kufungua na kutumia DEMO account kwenye Forex

Jinsi ya kufungua na kutumia DEMO account kwenye Forex

Kama tulivyokwisha ona umuhimu wa kuwa na ujuzi wa kutosha kabla hujaanza rasmi ku trade Forex kwa kutumia real account, ni muhimu kuanza na practice account ambayo itakuwezesha kufahamu trend ya soko, na taratibu mbali mbali za ku trade Forex.

Jinsi ya kufungua demo account

Forex Demo Account ni nini?

Forex demo account ni aina ya account maalum ya Forex ambayo inatolewa na wawezeshaji (trading platform au broker wako) ambayo imewekewa kiasi cha pesa ambazo sio halisi kwa ajili ya wewe kujifunza namna ya kufanya biashara ya Forex.

Tofauti ya Demo account na Real account ni kwamba Demo account imewekewa kiasi cha pesa ambacho ni fake, wakati account halisi au real account ni account ambayo umeiwekea pesa halali.

Njia rahisi kabisa ya kufungua account ya demo, ni ku download program ya Meta Trader 4 kwenye simu yako au kwenye computer yako, na baada ya ku install programu hiyo, automatically itakutengenezea account ya demo ambayo waweza itumia kufanya trading za majaribio wakati ukiendelea kujifunza. Iwapo ungepende kufungua LIVE account, basi bofya kitufe kifuatacho:
BOFYA HAPA KUFUNGUA ACCOUNT
Ambapo utaweza kufungua REAL account kwa broker TemplerFx

Jinsi ya kujiunga na Forex

Jinsi ya kujiunga na Forex

Baada ya kujifunza kuhusu utangulizi wa biashara ya Forex, sasa ni wakati muafaka wa kujifunza jinsi ya kujiunga na biashara hii ya Forex.

Iwapo tayari umekwisha pitia maelezo ya awali, ni wakati sasa wa kutengeneza account yako ya Forex. Waweza tengeneza account kupitia Broker maarufu zaidi East Africa na Duniani mwenye wateja zaidi ya milion 2.5 katika nchi 190 duniani.

Bofya kitufe kifuatacho kufungua account yako ya Forex bure kabisa:

FUNGUA ACCOUNT

Jambo ambalo ni muhimu zaidi kuhusu biashara ya Forex, ni kufahamu misingi yote ya biashara hii, na kuhakikisha kwamba unafahamu hatua zote muhimu za kuchukua ili kuzuia hasara (Risk Management Strategies)

Jinsi ya kujiunga na forex

Mbinu za kuzuia hasara katika biashara ya Forex unaweza kuzisoma kwenye post ifuatayo

Mbinu kuzuia hasara kwenye biashara ya forex (Risk Management Strategies)

Baada ya kuwa na uelewa mpana wa jinsi biashara ya Forex inavyofanya kazi, na kufahamu mbinu za kuzuia hatari ya account yako ya forex kuungua, sasa unaweza kujiunga na Forex.

Kama ndio unajiunga kwa mara ya kwanza, unashauriwa kuanza kwa kutengeneza account ya majaribio au DEMO ACCOUNT, account hii itakuwezesha kujaribu uwezo wako wa kufanya biashara hii ya forex, kutengeneza account ya majaribio ni rahisi zaidi, kwani unachopaswa kufanya ni ku install app ya Meta Trader 4 kwenye simu yako, account hiyo itakuwezesha kuunganishwa na Forex DEMO bure kabisa bila kupaswa kulipia kitu chochote.

Post ifuatayo nimeandika kwa kirefu kuhusu DEMO account kwenye forex

Jinsi ya kufungua na kutumia DEMO account kwenye Forex

Kujiunga na Forex demo, fungua simu yako, kama ni ya android nenda kwenye Play Store, na kama ni iPhone nenda kwenye App Store, halafu andika neno Meta Trader 4 Hapo itafunguka app hii ya Meta Trader 4 ambapo ukisha i install, moja kwa moja itakufungulia demo account ambayo waweza kuitumia kwa majaribio.

Ukishaweza kutumia demo account vizuri, sasa waweza hamia kwenye REAL ACCOUNT kujiunga na real account waweza mtumia broker wetu ambaye tunamtumia zaidi East Africa anayeitwa XM kwa ku bofya kiungo kifuatacho.

BOFYA HAPA KUFUNGUA ACCOUNT

Endelea kuwa pamoja nami katika safari hii ya mafanikio kupitia biashara ya Forex

Zinazosomwa Zaidi

Followers