Showing posts with label Biashara ya Forex. Show all posts
Showing posts with label Biashara ya Forex. Show all posts

Broker wa Forex anayeruhusu kuweka na kutoa kupitia mitandao ya simu kama Mpesa na tigopesa

Njia ya kuweka na kutoa ni moja kati ya vigezo vikubwa ambavyo trader yoyote wa forex huvizingatia pale anapofanya maamuzi ya kuanza kujiunga na broker fulani.

Forex M-Pesa Brokers



Urahisi wa kuweka na kutoa ni kigezo kikubwa ambacho kila mmoja hukiangalia, ni mara nyingi tumeshuhudia brokers wengi wakiwasumbua wateja wao wakati wa kutoa pesa zao.

Kwenye post hii, najaribu kukuelekeza kwa mifano, baadhi ya brokers ambao ukiamua kujiunga nao, basi utafurahia huduma za moja kwa moja za kutoa pesa kwa kupitia mtandao wako wa simu iwe ni M-Pesa, TigoPesa au AirTel Money.

Kwa sasa hakuna ubishi kwamba broker anayefahamika kwa jina la EXNESS, ndiye broker bora zaidi na ambaye amejipatia sifa zaidi kwa jinsi anavyoendesha biashara ya forex, lakini pia jinsi alivyowekeza kwenye technology, broker huyu anakuwezesha kuweka na kutoa papo kwa papo kwa kupitia mtandao wa Vodacom mpesa,

Kufungua account ya Forex kwa broker huyu anayekuwezesha kuweka na na kutoa kupitia mobile money, bofya kitufe kifuatacho:

FUNGUA ACCOUNT EXNESS

Ukiachilia EXNESS, broker mwingine ni TemplerFx ambaye anatumia mawakala. 

Broker ambaye awali kabisa tumekua tukifurahia huduma zake za kuweka na kutoa kupitia M-Pesa ni TemplerFx, kwa bahati mbaya huduma hgii ilikuja kusitishwa nchini Tanzania lakini imeendelea kuwepo Kenya. Baada ya kusubiri kwa muda mrefu, hatimaye TemplerFX wamefanikiwa kukuletea huduma hii ya kuweka na kutoa papo kwa papo kupitia AGENTS

Broker huyu amejitahidi kuwa na huduma bora kabisa ya kuweka na kutoa kupitia Agents ambapo unachopaswa kufanya ni kuchagua huduma ya kutoa kwa kupitia Agents, na baada ya hapo ndani ya muda mfupi kabisa, utakua umefanikiwa aidha kuweka, au kutoa.

JINSI YA KU WITHDRAW KUPITIA MOBILE MONEY AGENT TANZANIA


  • Kwenye menu ya upande wa kushoto chagua FINANCE halafu bofya WITHDRAW


  • Kwenye ukurasa utakaofunguka, chagua account unayotaka ku withdraw pesa


  • Kwenye sehemu ya Method, chagua E-WALLET WITHDRAW REQUEST
  • Kwenye sehemu ya E-Wallet System, chagua Mobile Money Tanzania (Agent) kama upo Tanzania


  • Endelea kwa kuchagua E-Wallet namba, kisha weka kiasi cha kutoa na malizia kwa kubofya SUBMIT


Baada ya hapo utasubiri kwa sekunde chache utaona taarifa kuhusu muamala wako na punde kidogo utaona itaingia kwenye simu yako

Kufungua account kwa broker huyu BOFYA HAPA

Jinsi ya kuanza biashara ya Forex bila mtaji

Wapo watu wengi wanatamani kuanza biashara hii ya Forex lakini wengi wamekua na kikwazo kwenye mtaji wa kuanzia  biashara hii kubwa duniani.
Habari njema ni kwamba, wapo baadhi ya brokers ambao wanakupatia kianzio cha bure kabisa ambacho kitakuwezesha kupata pesa ya bure kabisa kuanza biashara hii ya Forex, na kwa bahati nzuri, hapa kwetu Tanzania yupo broker ambaye atakupatia bure kabisa dola 30, ambayo inaitwa NO DEPOSIT BONUS, utakachopaswa kufanya ni kuanza kukuza kiwango hicho hadi kufikia dola 100 na utakuwa na uwezo wa kui withdraw.

Free 30 USD Templer Forex

Ili kuweza kupata kianzio hichi cha bure cha dola 30, jiunge na Forex kwa broker wa templer kwa kufuata kitufe kifuatacho:

BOFYA HAPA KUFUNGUA ACCOUNT

Ukishatengeneza account yako ya Forex, fuata hatua zifuazo ili ku-request dola 30 za bure:
  • Login kwenye dashboard yako ya Templer Fx
  • Ukisha login, kwenye menu kuu iliyopo upande wa kushoto chagua BONUS
  • Click request NBD 30$ ambapo utapatiwa login id, pamoja na password ya kulogin kwenye mt4
No deposit bonus templerfx

Tayari utakua umeshapata dola 30 za bure kabisa zinazokuwezesha ku trade Forex.

Zifuatazo ni sheria na taratibu za kukuwezesha ku withdraw faida utakayoipata baada ya ku trade kwa NDB.
  • Unatakiwa u trade hizo dola 30 ulizopatiwa, hadi zifike dola 100 ndani ya mwezi mmoja na iwapo utashindwa kufikisha dola 100 ndani ya huo mwezi mmoja, utakua umeshindwa kutimiza vigezo vya No Deposit Bonus.
  • Ndani ya huo mwezi mmoja ambao utapaswa kufikisha dola 100, total lot size/volume inatakiwa isipungue 5 yaani kwa mfano kama una trade kwa lot size ya 0.05, basi kwa ujumla uwe ume fungua na kufunga jumla ya trades 100 ndani ya huo mwezi mzima yaani 5 gawa kwa 0.05
  • Jumla ya positions zinazo run kwa wakati mmoja, zisizidi volume ya 0.3, kwa mfano kama una trade kwa 0.1, basi zitahesabiwa maximum positions 3 ambazo jumla ndio inakua 0.3
Iwapo umefanikiwa kutimiza vigezo vyote hivyo, utapaswa account yako iwe imekua full verified, yaani email, identification, number ya simu na card, then utatuma email au uta chat na mtu wa support aliye online muda wote, ili kuweza ku withdraw amount uliyotengeneza ya dola 100. Kumbuka kwamba, amount utakayopewa kutokana na ku trade No Deposit Bonus ni dola 100 pekee, na utakua na uhuru wa kuamua either kuzi withdraw kabisa, au kuendelea kuzi trade kama mtaji wako mpya. 

Zinazosomwa Zaidi

Followers