Showing posts with label M-Pesa. Show all posts
Showing posts with label M-Pesa. Show all posts

Broker wa Forex anayeruhusu kuweka na kutoa kupitia mitandao ya simu kama Mpesa na tigopesa

Njia ya kuweka na kutoa ni moja kati ya vigezo vikubwa ambavyo trader yoyote wa forex huvizingatia pale anapofanya maamuzi ya kuanza kujiunga na broker fulani.

Forex M-Pesa Brokers



Urahisi wa kuweka na kutoa ni kigezo kikubwa ambacho kila mmoja hukiangalia, ni mara nyingi tumeshuhudia brokers wengi wakiwasumbua wateja wao wakati wa kutoa pesa zao.

Kwenye post hii, najaribu kukuelekeza kwa mifano, baadhi ya brokers ambao ukiamua kujiunga nao, basi utafurahia huduma za moja kwa moja za kutoa pesa kwa kupitia mtandao wako wa simu iwe ni M-Pesa, TigoPesa au AirTel Money.

Kwa sasa hakuna ubishi kwamba broker anayefahamika kwa jina la EXNESS, ndiye broker bora zaidi na ambaye amejipatia sifa zaidi kwa jinsi anavyoendesha biashara ya forex, lakini pia jinsi alivyowekeza kwenye technology, broker huyu anakuwezesha kuweka na kutoa papo kwa papo kwa kupitia mtandao wa Vodacom mpesa,

Kufungua account ya Forex kwa broker huyu anayekuwezesha kuweka na na kutoa kupitia mobile money, bofya kitufe kifuatacho:

FUNGUA ACCOUNT EXNESS

Ukiachilia EXNESS, broker mwingine ni TemplerFx ambaye anatumia mawakala. 

Broker ambaye awali kabisa tumekua tukifurahia huduma zake za kuweka na kutoa kupitia M-Pesa ni TemplerFx, kwa bahati mbaya huduma hgii ilikuja kusitishwa nchini Tanzania lakini imeendelea kuwepo Kenya. Baada ya kusubiri kwa muda mrefu, hatimaye TemplerFX wamefanikiwa kukuletea huduma hii ya kuweka na kutoa papo kwa papo kupitia AGENTS

Broker huyu amejitahidi kuwa na huduma bora kabisa ya kuweka na kutoa kupitia Agents ambapo unachopaswa kufanya ni kuchagua huduma ya kutoa kwa kupitia Agents, na baada ya hapo ndani ya muda mfupi kabisa, utakua umefanikiwa aidha kuweka, au kutoa.

JINSI YA KU WITHDRAW KUPITIA MOBILE MONEY AGENT TANZANIA


  • Kwenye menu ya upande wa kushoto chagua FINANCE halafu bofya WITHDRAW


  • Kwenye ukurasa utakaofunguka, chagua account unayotaka ku withdraw pesa


  • Kwenye sehemu ya Method, chagua E-WALLET WITHDRAW REQUEST
  • Kwenye sehemu ya E-Wallet System, chagua Mobile Money Tanzania (Agent) kama upo Tanzania


  • Endelea kwa kuchagua E-Wallet namba, kisha weka kiasi cha kutoa na malizia kwa kubofya SUBMIT


Baada ya hapo utasubiri kwa sekunde chache utaona taarifa kuhusu muamala wako na punde kidogo utaona itaingia kwenye simu yako

Kufungua account kwa broker huyu BOFYA HAPA

Jinsi ya kudeposit Templerfx kwa kutumia Safaricom M-Pesa

Iwapo una laini ya Safaricom na unatumia huduma ya M-Pesa Kenya, na unataka ku deposit pesa kwenye account yako ya TemplerFx, fuata mtiririko huu ili kufahamu jinsi ya ku deposit kiasi cha pesa upendacho.

Kama bado huna account ya Forex kupitia TemplerFx, bofya kitufe kifuatacho kujiunga:

BOFYA HAPA KUFUNGUA ACCOUNT

Jambo la kwanza ni kuhakikisha account yako ya M-Pesa ina balance inayolingana na  kiasi unachotaka ku deposit, waweza kuwa na kiwango chochote kisichopungua KES 200 au Kiwango cha KES kinacholingana na 1 USD

Deposit to forex using mpesa


Jinsi ya kuweka na kutoa pesa Templer Fx kwa Safaricom M Pesa:
  1. Kwa kutumia computer yako, Login kwenye account yako ya TemplerFx
  2. Kwenye menu ya upande wa kushoto, bofya palipoandikwa Finance
  3. Chini yake utaona Deposits, bofya link hiyo.
  4. Kwenye ukurasa utakaofunguka, chagua account unayotaka ku-deposit, na iwapo bado hujatengeneza account, utaambiwa utengeneze account.
  5. Ukishachagua account, bofya sehemu iliyoandikwa Select a payment System
  6. Chagua palipoandikwa IPay Africa
  7. Baada ya hapo utachagua Method of payment
  8. Hapo sasa utachagua M-Pesa Kenya
  9. Bofya/Tick sehemu ya kukubali vigezo na masharti na iwapo ungependa bonus pia.
  10. Bofya kitufe kilichoandikwa DEPOSIT KES XXX 
TemplerFx M-Pesa Deposit

Kwenye page itakayotokea ya kufanya malipo, iwapo upo Tanzania au ncho tofauti na Kenya, utalazimika ku-edit namba yako iliyopo, na kuweka namba yako ya Safaricom, utafanya hivyo kwa kubofya ki-tick kilichoandikwa (I need to change ...) kisha utaweka namba yako ya Safaricom bila kuweka code yaani utaanza na  07XXXXXXXX

Ukisha edit namba yako na kuweka namba ya Safaricom, utabofya PAY NOW, na hapo iwapo unatumia Smart Phone, utakuwa Prompted kwenye simu yako kuweka namba ya siri.

TemplerFx M-Pesa Deposit

Iwapo laini yako ya Safaricom ipo kwenye simu isiyo smart (kitochi) basi waweza amua kutumia njia ya zamani kwa kubofya maneno yenye rangi ya brown yaliyoandikwa

I did not get a prompt on my phone. Take me to the previous MPESA payment method

Baada ya hapo, fuata maelekezo yafuata jinsi ya kulipa pesa, na muda huo huo ukishalipa utaona balance yako kwenye account yako ya TemplerFx
 
Na iwapo bado hujawa na account ya TemplerFX, bofya kitufe kifuatacho kujiunga:

BOFYA HAPA KUFUNGUA ACCOUNT

Jinsi ya kupata dola 30 za kianzio kutoka TickMill Forex Broker

Forex imeendelea kuwa biashara yenye mzunguko mkubwa wa fedha kuliko biashara nyingine zozote duniani.

TickMill 30 USD bonus account

Kwa bahati nzuri biashara hii haina mipaka baina ya nchi na nchi na mtu yoyote anaweza kujifunza na kuanza biashara ya Forex na kuweza kutimiza ndoto zake kwa kuishi maisha yenye uhuru wa kiuchumi.

Ingawa ukweli ni kwamba, Forex sio biashara rahisi especially kwa nyakati za mwanzo ambapo ni rahisi kupoteza mtaji wako iwapo utaingia sokoni bila kufuata misingi inayopaswa ya kuzuia hasara, lakini utakuja kugundua kwamba, kadiri unavyozidi kujifunza na kukaa sokoni, ndipo unapozidi kupata uzoefu na kuzifahamu indicators mbali mbali za kiuchumi zinazokuwezesha kufanya maamuzi ya aidha ku-BUY au ku-SELL.

Ni kwa kufahamu jambo hili, ndio maana yupo Forex Broker bora kabisa anayefahamika kwa jina la TICKMILL ambaye atakuwezesha kupata dola 30 za kianzio ambazo unaweza ukazi trade, na iwapo utatimiza vigezo na masharti, basi utaweza kuzi withdraw, na uzuri ni kwamba broker huyu, anakuwezesha ku deposit na ku withdraw moja kwa moja kwa kutumia simu yako ya mkononi kwa mtandao wa Vodacom M-Pesa.

Kupata dola 30 kutoka TickMill, bofya kiungo kifuatacho ambacho utapewa maelekezo ya kufungua account yenye dola 30.

FUNGUA ACCOUNT YENYE 30 USD

Ukiachilia account ya dola 30, pia waweza tengeneza account yako ya kudumu kwa broker huyu kwa kubofya kiungo kifuatacho:

FUNGUA ACCOUNT

Endelea kufuatilia post zingine ili uzidi kupata elimu jinsi ya kufanya vyema kwenye ulimwengu huu wa biashara ya Forex. 

Jinsi ya kutoa pesa Skrill kwenda M-Pesa Tanzania

Katika post hii tutaona njia unayoweza kuitumia kuhamisha pesa kutoka Skrill kwenda M-Pesa Tanzania. Skrill ni moja kati ya huduma nzuri kabisa za kutuma, kupokea pesa na kufanya malipo mtandaoni.

Skrill to M-Pesa Tanzania


Kama bado hujajiunga na huduma hii, bofya kitufe kifuatacho kufungua account Skrill.

 

Au waweza soma post hii kuhusu jinsi ya kufungua account Skrill:

Jinsi ya kufungua account Skrill

Kama tayari una account Skrill, na unajiuliza ni mbinu gani utumie kuhamisha pesa zako kwenda M-Pesa Tanzania, ungana nami katika mtiririko huu:

Cha kwanza kabisa hakikisha una account ya Forex ambayo iko Verified kwa broker wa TemplerFX, kama bado huna, account TemplerFX, hakikisha unatengeneza account kwa kubofya kitufe kifuatacho:

BOFYA HAPA KUFUNGUA ACCOUNT

  • Ukishafungua account, hakikisha umei verify, kwa ku upload vitambulisho vyako, pamoja na ku verify card yako ya bank (utaelekezwa kufuta baadhi ya namba zilizopo kwenye card yako ya bank)
  • Ukishakua na full verified TemplerFx account, nenda kwenye sehemu ya ku deposit pesa, ambapo utaona njia mbali mbali za ku deposit
  • Chagua Skrill kama njia ya ku deposit
  • Deposit kiasi cha pesa unachotaka, nacho kitahamishwa muda huo huo kutoka Skrill kwenda TemplerFx.
  • Kiasi chako cha pesa kikishaingia TemplerFx, waweza sasa ukachagua ku withdraw, ambapo utachagua njia ya wallet, ambayo itakuelekeza hatua zifuatazo, na wewe utachagua M-Pesa, kisha utachagua namba yako ya M-Pesa na baada ya hapo muda huo huo kiasi hicho cha pesa kitakua kimehamishwa kutoka TemplerFX kwenda kwenye namba yako ya M-Pesa.
Kama umefurahishwa na post hii, usisahau ku share kuwafahamisha wengine.

Jinsi ya kufungua account Skrill

Skrill ni huduma nzuri sana ya pesa ambayo watu wengi wa Forex hupenda kuitumia na huduma hii ni mbadala mzuri kwa PayPal.

Skrill Tanzania - Skrill Kenya

Waweza tumia Skrill kutuma na kupokea pesa kwa watu mbali mbali duniani, na kufanya malipo mbali mbali pamoja na ku deposit pesa kwenye account ya Forex ambapo brokers mbali mbali hutumia njia hii ya Skrill.

Kujiunga na huduma hii nzuri ya Skrill, bofya kitufe hiki hapa chini:



Kwa wale waliopo Kenya, kuna njia ya moja kwa moja ya kuhamisha pesa kutoka Skrill kwenda M-Pesa na kwa walio Tanzania, pia kuna njia ambayo waweza itumia kuhamisha pesa kutoka Skrill na kuhakikisha imeingia M-Pesa. Soma post ifuatayo kujua namna ya kuhamisha pesa kutoka Skrill kwenda M-Pesa Tanzania.

Jinsi ya kuhamisha Pesa kutoka Skrill kwenda M-Pesa Tanzania

Endelea kuwa pamoja nasi katika mafunzo haya ya mbinu mbali mbali za kufanya biashara ya forex kwa mafanikio.

Jinsi ya kuweka hela Forex

Baada ya kufahamu jinsi ya kutumia M Pesa kuweka hela kwenye account yako ya Forex chini ya broker maarufu East Africa anayefahamika kwa jina la TemplerFX sasa ni wakati wa kujifunza hatua kwa hatua ni namna gani unaweza ukaweka hela kwenye account yako ya Forex.

Jinsi ya kuweka hela Forex
Jinsi ya kuweka hela Forex


Zipo namna nyingi za kuweka hela kwenye account ya Forex kutegemea na broker unayemtumia, wengine wanatumia M-Pesa, PayPal, Visa card au Mastercard, Skrill na baadhi ya njia nyingine za kutuma na kupokea pesa kwa kupitia mtandao.

Kwa kuwa Watanzania walio wengi ni watumiaji wa huduma za fedha kupitia mitandao ya simu, basi tutaenda kujifunza kuweka pesa kwa kutumia M-Pesa.

Kama umeamua kuwa serious na biashara ya Forex, basi ni vyema ukawa na bank account maalum ambayo utaitumia kuweka na kutoa fedha kwa kupitia Visa au Mastercard, njia hizi utaziona pindi unapo bofya kwenye link ya DEPOSIT katika members area ya account yako ya forex.

Na iwapo unalazimika kutumia M-Pesa, basi huna budi kujiunga na broker aitwaye TEMPLERFX kwa kubofya hapa chini:

BOFYA HAPA KUFUNGUA ACCOUNT
Maelekezo yote ya namna ya kutumia mtandao wa M-Pesa kupitia huduma ya Ipay Africa nimeyaweka kwenye article ifuatayo, bofya link then utaona ni jinsi gani unaweza kuweka hela kwenye account yako ya Forex kwa kutumia M Pesa.

Jinsi ya kuweka hela Forex kwa kupitia M Pesa

Nimatumaini kwamba makala hii imeweza kukuelekeza vizuri namna ambayo waweza itumia kuweka hela kwenye Forex

Na iwapo ungependa kuweka pesa kwa kutumia huduma ya Skrill, bofya link ifuatayo kufungua account Skrill

FUNGUA SKRILL ACCOUNT

Jinsi ya kutumia M-Pesa kuweka na kutoa fedha katika Forex

NOTE:
Huduma ya ku deposit na ku withdraw kwa kutumia M-Pesa Tanzania kupitia Broker TemplerFx kwa sasa imesitishwa hadi hapo iPay na Vodacom watakapokamilisha taratibu zilizowekwa na BOT.
Huduma hii inaendelea kupatikana kupitia Safaricom M-Pesa Kenya ambapo waweza ku deposit au ku withdraw kwa kuchagua M-Pesa Kenya.
Kama bado huna account ya Forex kupitia TemplerFx, bofya kitufe kifuatacho kujiunga:

BOFYA HAPA KUFUNGUA ACCOUNT

Moja kati ya changamoto nyingi zinazoikumba biashara ya Forex hususani kwa nchi zinazoendelea ni namna bora ya kuweka na kutoa pesa kwenye account yako ya Forex.

Templer fx M Pesa
Templer Fx M Pesa

Jambo hili kwa kawaida huwa linasimamiwa na broker uliyeamua kumtumia. Brokers walio wengi wanakuwezesha kuweka pesa kwenye account yako kwa kupitia njia ya Bank kupitia credit cards kwa mfano Visa au Mastercard.

Jambo zuri kwa forex Traders wa East Africa ni kwamba yupo broker ambaye anakuwezesha kuweka na kutoa pesa kwa kutumia Vodacom M-Pesa papo kwa papo. Broker huyu si mwingine bali ni TemplerFx ambaye anatumia huduma ya iPay Africa kukuwezesha kuweka na kutoa pesa kwenye account yako ya M Pesa muda wowote. Sasa tukaangalie ni kwa jinsi gani unaweza kutumia huduma hii.

Bofya kitufe kifuatacha kujiunga na Templer Forex kutumia huduma ya M-Pesa kuweka na kutoa pesa kwenye Forex:

BOFYA HAPA KUFUNGUA ACCOUNT

Jinsi ya kuweka na kutoa pesa Templer Fx kwa M Pesa:

Ikiwa umeshajiunga na tayari una account ya templerfx ambayo ni verified. Fuata mtiririko ufuatao:
  1. Kwa kutumia computer yako, Login kwenye account yako ya TemplerFx
  2. Kwenye menu ya upande wa kushoto, bofya palipoandikwa Finance
  3. Chini yake utaona Deposits, bofya link hiyo.
  4. Kwenye ukurasa utakaofunguka, chagua account unayotaka ku-deposit, na iwapo bado hujatengeneza account, utaambiwa utengeneze account.
  5. Ukishachagua account, bofya sehemu iliyoandikwa Select a payment System
  6. Chagua palipoandikwa IPay Africa
  7. Baada ya hapo utachagua Method of payment
  8. Hapo sasa utachagua M-Pesa Tanzania, iwapo upo Tanzania au M-Pesa Kenya iwapo upo Kenya
Baada ya hapo, fuata maelekezo yafuata jinsi ya kulipa pesa, na muda huo huo ukishalipa utaona balance yako kwenye account yako ya TemplerFx

Zinazosomwa Zaidi

Followers